MAPEMA ASUBUHI YA LEO 24/4/2015 ZANZIBAR PEACE TRUTH AND TRANSPARENCY ASSOCIATION (ZPTTA)WAKISHIRIKIA NA TANZANIA YOUTH ICON (TAYI)WA MEZINDUA MPANGO WAKUHAMASISHA UCHAGUZI WA AMANI KWA KUEKA KIKAO NA WANAHABARI WA VITUO VYOTE NCHI TANZANIA
KATIBU WA ZPTTA AKIHOJIWA NA WANA HABARI WA STATIONS ZA TV NA REDIO MBALIMBALI ALITOA NASAHA KWA VIJANA WA TANZANIA KUTO KUKUBALI KURUBUNIWA NA WANA SIASA KWA KUTOA MIFANO MBALI MBALI YA NCHI ZILIZO INGIA KATIKA MITAFARUK YA MACHAFUKU IKIWEMO YEMEN ,LIBIA,SIRIA ,IRAQ N.K NA KAULI MBIU YA" SEMA NDIO KWA AMANI NA HAPANA VITA"
KATIBU WA ZPTTA AKIHOJIWA NA WANA HABARI WA STATIONS ZA TV NA REDIO MBALIMBALI ALITOA NASAHA KWA VIJANA WA TANZANIA KUTO KUKUBALI KURUBUNIWA NA WANA SIASA KWA KUTOA MIFANO MBALI MBALI YA NCHI ZILIZO INGIA KATIKA MITAFARUK YA MACHAFUKU IKIWEMO YEMEN ,LIBIA,SIRIA ,IRAQ N.K NA KAULI MBIU YA" SEMA NDIO KWA AMANI NA HAPANA VITA"
NAE MKUFUNZI WA VIJANA KUTOKA (TANZICT) FANUEL ANSIGAL AKITOA NASAHA NA ELIMU KUHUSU UCHAGUZI WA AMANI
No comments:
Post a Comment