Unordered List


Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Monday, 4 May 2015

Czech yakosoa vikwazo dhidi ya Russia

Zeman Zeman
Rais Milos Zeman wa Czech amesema kuwa vikwazo vilivyowekwa kwa Russia kutokana na mgogoro wa Ukraine havina athari bali vinachochea hali ya mivutano. Rais wa Czech amesema kuwa vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia havina athari, bali vimekuwa tu vikizidisha hali ya mivutano na ametaka kuondolewa vikwazo hivyo haraka iwezekanavyo.
Madola ya Magharibi yameiwekea Russia vikwazo ka kuituhumu nchi hiyo kwamba inahusika katika mgogoro mkubwa wa hivi sasa katika nchi jirani ya Ukraine; mgogoro ulioibuka baada ya Kiev kuanzisha oparesheni za kijeshi dhidi ya vikosi waitaki wa Russia mashariki mwa Ukraine mwaka uliopita. Russia imekanusha tuhuma hizo za Magharibi dhidi yake

No comments:

Post a Comment