.jpg)
Waziri
wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh. Samuel Sitta (kulia) na Naibu
Waiziri wa TAMISEMI (Elimu) Mh. Kassim Majaliwa wakizungumza nje ya
Ukumbi wa Mkutano wa Kenyatta kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Jumuiya ya
Afrika Mashariki wa Miundombinu Nov 29, 2014,Nairobi
.jpg)
Waziri
wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh. Samuel Sitta akitoa hotuba yake
wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika
Mashariki kuhusu Miundombinu leo Novemba 29, 2014 Nairobi, Kenya
.jpg)
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Joyce Mapunjo
(kushoto) akifuatilia Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika
Mashariki kuhusu Miundombinu uliofanyika leo Novemba 29, 2014 Nairobi
Kenya
.jpg)
Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki Bw. Amantius Msole (kulia) na
Naibu Mwanasheria Mkuu Mh. George Masaju walifuatilia Mkutano wa Wakuu
wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu Miundombinu leo Novemba
29, 2014 Nairobi, Kenya
.jpg)
Makamu
wa Rais wa Kenya Bw. William Ruto akizungumza kwenye Mkutano wa Wakuu
wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu Miundombinu leo Novemba
29, 2014 Nairobi, Kenya
No comments:
Post a Comment