Unordered List


Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Sunday, 7 December 2014

BREAKING NEWSSSS.... IDRIS SULTAN ASHINDA shindano la Big Brother ‘hotshots’ aondoka na dola elfu 300 za kimarekani

Mshiriki  wa Tanzania anayewakilisha ndani ya mjengo wa Big Brother ‘hotshots’ , Idris Sultan ndiye ameibuka kidedea leo usiku katika shindano hilo huko Afrika Kusini. Idris amekuwa Mtanzania wa pili kushinda shindano hilo, baada ya Richard Dyle Bezuidenhout kuibuka kidedea mwaka 2011 katika Big Brother Afrika II.

No comments:

Post a Comment