Unordered List


Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Sunday, 19 October 2014

JE UNA SIMU YA ANDROID IKIWA JIBU NDIO KING'ARO ENTERPRISES WANAKULETEA APPLIATION YA KUDOWNLOAD APP,GAME,MOVIES ZA KULIPIA KATIKA PLAY STORE NA MARKET FOR FREE


JE UNA SIMU YA ANDROID IKIWA JIBU NDIO KING'ARO ENTERPRISES WANAKULETEA APPLIATION YA KUDOWNLOAD APP,GAME,MOVIES ZA KULIPIA KATIKA PLAY STORE NA MARKET FOR FREE

jinsi ya kupata na kudownload application ambazo zinalipiwa kwenye Google play bure na zenye latest version.

HATUA YA KWANZA:
-download application inaitwa APTOID inapatikana katika link hii

http://m.aptoide.com/installer?lang=EN

au fanya hivi:-nenda kwenye brower yoyote ukaandike APTOIDE then bonyeza search....STORE,au unaweza kuclick ile ya utaona sehemu pameandikwa install aptoide na idounload then istall

HATUA YA PILI
-Kuchua karatasi na pen then nenda kwenye PLAY STORE ...andika majina ya application za kulipia ambazo unazitaka.....ukimaliza nenda kafungue .... application yako ya APTOIDE ulioidownload.....ikifunguka ipo kama play store.....kwa juu upande wa kulia kunasehemu pa kusearch....eeehee kabla ya hivyo vidoti vitatu....paclick..... then unakumbuka majina ulioandika chini ya application ambazo unazitaka haya andika hapo then search itakuja hapo na utaidownload ......isipoonekana nenda kwa chini kidogo utakuta pameandikwa SEARCH OTHER STORES nenda pa click itakuletea complete action using.........
changua brower yoyote hapo.....zitakuja hapo angalia aina ya application unayoitafuta.....angalia yenye wingi wa kudownloduiwa....then click install .....HIVYO NDO JINSI YA KUDOWNLOAD application za kulipia BURE.

JAMBO LA MWISHO JINSI YA KUFANYA SCANNING ya document kwa kutumia simu yako ya android HAINA HAJA ya kutoa ELFU MOJA ya kufanya scanning kwenye INTERNET CAFE ....haya fanya hivi.....nenda kwenye application ya APTOIDE kama nilivyokufundisha hapo juu nenda katafute application inaitwa CAMSCANNER PREMIUM kwenye google play ni dola 5 ila nimekufundisha jinsi ya kuipata bure ......ukishaidownload ifungue then utaona humo humo kuna sehemu ya camera .... haya sasa chukua cheti chako au document yoyote....ipinge picha kutumia hiyo application ....ukimaliza itakuletea uiweke vizuri then kwa chini kulia kunasehemu ipo kama tiki.....haya pa click hapo itakuscania document then itasave kwenye simu tayali kuituma kwenye emails kwa maelezo zaid unaweza kuchangia tzs 1000 vocha katika no +255776645900 au +255652331374 utapata maelekezo sahihi na kukuza technology zanzibar by king'aro enterprises zanzibar ......thank video is coming soon

No comments:

Post a Comment